chakarika

Monday 31 May 2010

Kakobe: ufisadi hauwezi kuisha chini ya uongozi wa kifisadi


Elizabeth Ernest

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (FGBF), Zachary Kakobe amesema ufisadi nchini hauwezi kumalizika iwapo nchi itaendelea kuongozwa na mafisadi.

Akihubiri katika Ibada kwenye kanisa hilo lilliloko Mwenge jijini Dar es Salaam juzi Jumapili, Kakobe aliwataka waumini wake kujiunga katika vyama vya siasa na kugombea nafasi za uongozi ili waiongoze nchi.

Alisema kwa sasa nchi inatawaliwa na mafisadi na ndio sababu wamejenga dhana ya “chukua chako mapema” kwa kukosa hofu ndani ya mioyo yao kwa uovu wanaowatendea wanyonge.

“Wote wanaoimba wimbo wa ufisadi ni wanafiki wakubwa, tena ndio mafisadi wenyewe. Mwenyehaki akitawala baraka za Mungu zinakuja na nchi inastawi”, alisema Kakobe.


Kakobe alisema wenyehaki wakijitosa katika siasa kwa nguvu zote wataushinda ufisadi, lakini, wakikaa pembeni, ufisadi hautakwisha na kwamba nchi itaendelea kutawaliwa katika misingi ya kifisadi.

“Mwenye haki ndiye anapaswa kuongoza, kwa sababu atasimamia haki za wanyonge, tofauti na sasa nchi inavyoongozwa ambapo kuna watu zaidi ya milioni nane hawajui watakula nini, kwa sababu nchi haiongozwi katika misingi ya sheria ya Mungu”, alisema.

Askofu huyo alisema viongozi wanaoongoza nchi hawana hekima kwa sababu hawaongozwi na Neno la Mungu, tofauti na alivyokuwa hayati Julius Nyerere aliyesema alikuwa akitembea na Biblia kila alipokwenda iliyompatia hekima katika utawala wake.

“Aliye mkamilifu anayo hekima ndani yake, nahitaji watu wenye haki wajiunge na siasa ili ufisadi uondoke kabisa katika nchi hii na wanyonge wapate haki zao”, alisema Kakobe.

Kakobe aliwataka waumini wake kujinga katika vyama mbalimbali vya siasa akieleza kuwa, hata Yesu alikuwa upande wa wapinzani na kwamba msemo wa ‘fikra kwa mwenyekiti zidumu’ sasa haupo tena.

“Jiunge na chama tawala, hata CCJ ingia nitakutia mafuta. Watu wanaosema siasa ni mchezo mchafu, wachafu ni wao wenyewe, tangu sasa dhamiria kuingia kwenye siasa”, kiongozi huyo alisema.

Kakobe alisema yeyote mwenye haki atapata ujasiri kama simba katika kupambana na mafisadi na kwamba hata yeye anao ujasiri aliosema amepata kutoka kwa Mungu.

Kiongozi huyo alliyewahi kumpigia debe Augustino Mrema wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), katika uchaguzi wa rais mwaka 2005, alisema lazima wenye haki wasimame kutumikia ufalme wa Mungu na kwa kupigana na ufisadi kwa kujitosa kwenye siasa.

Kakobe aliyewahi kulumbana na serikali katika mambo kadhaa, alisema viongozi wanaoongoza bila kuwa na hofu mioyoni mwao wanatawaliwa na nguvu za giza.

Alisema kwamba miungu ya viongozi ni tofauti na wenye haki wanaoongoza kwa sheria na misingi ya Mungu.

"Wanaoongoza bila hofu ya Mungu, muingu yao iko Bagamoyo, Sumbawanga na Pemba, tofauti na wenye haki ambao wataongoza na sheria inayotengenezwa na misingi ya Mungu",alisema.

Alisema shetani daima anataka watu wanaofanya matambiko na kwenda kwa waganga waongoze nchi, ili waendelee kufanya maisha ya wanyonge yaendelee kuwa magumu na wasijue watakula nini", alisema Kakobe.

Hata hivyo, alisema kuwa wapo watawala wanaotafsiri vibaya Neno la Mungu wakidhania kwamba mtu mcha Mungu hatakiwi kutawala, bali kutawaliwa na kueleza kuwa dhana hiyo ni uongo na potofu akisema, biblia haitafsiriwi jinsi mtu aonavyo.

Habari hii kwa hisani ya gazeti la mwananchi-Tanzania

JK hupo wapi!!!?







Breaking NewsWorld Condemns Deadly Israeli Ship Attack
Cameron: No more 'cloak of secrecy'



Buzz Up! Print StoryDavid Cameron has pledged to remove the "cloak of secrecy" from government as ministers seek to reassure the markets that the departure of David Laws will not derail plans to tackle the deficit. Skip related content
Related photos / videos
Cameron: No more 'cloak of secrecy'
Enlarge photo .Related content
Cameron To Remove 'Cloak Of Secrecy'
PM vows more openness in government
Coalition hit by minister's expense claims
Related Hot Topic: David Cameron
Have your say: David Cameron
The Prime Minister is promising the public greater access to information including hospital superbug figures, street-by-street crime data, and itemised lists of Whitehall spending.

But he also faces the continuing fallout from the weekend resignation of Mr Laws, the highly-rated Chief Secretary to the Treasury who was seen as having made a successful start to the government's cost-cutting drive.

Already, there are fresh claims in the Daily Telegraph that Mr Laws' successor, Danny Alexander, had dodged capital gains when selling a property he designated to Parliament as his second home.

Aides to the Lib Dem MP insisted he had never "flipped" designations and simply followed tax rules, meaning people are not eligible for CGT if they own two homes, but sell one within three years.

Mr Alexander, a former PR chief for Cairngorms National Park Authority, is said to have owned the south London flat for six years before becoming an MP in 2005, when he told the parliamentary authorities it was his second home. At around the same time he purchased a constituency home in Scotland. According to the Telegraph, he claimed more than £37,000 in expenses on the flat before selling in June 2007....

News for the courtsey of the sun news papers online-UK

Hawa ndiyo wapiga kura wenu CCM!!!?



Miaka nenda rudi tunaishi kwa matumaini ambayo hayapo. Je waziri Kapuya unasema nini kuhusiana muda mfanyakazi kazi kibaru unakoma baada ya muda gani ili kupata mkataba. Hawa wapiga kura wenu ninyi chama tawala wapo utumwani katika nchi yao. Ajira zao zinaanza asubuhi na kukoma jioni tena kwa muda usiokuwa na kikomo. Kifupi ajira inaanza asubuhi lakini haifahamiki muda wa kumaliza kazi.

Na hata hiyo asubuhi itategemea na saa ya utakayofika hapao kazini. Iwapo umechelewa basi nafasi siku hiyo nayo imetoweka. unatakiwa kujibidisha kufika kazini mapema ikiwezekana masaa mawili kabla kuanza kazi. Je CCM mpo hapo...kumbukeni mpo madarakani muda wa miaka thelasini na tatu kwa jina la CCM na kabla ya hapo kwa jina TANU.

Nini kipya mtakachotueleza safari hii

Ukivulia Nguo maji ni sharti kuoga mwili mzima




Iwapo tumekubali kuingia katika mfumo wa vyama vingi basi tukubali kutekeleza kila kitu na tuache visingizio ambavyo haviendani na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi. Tukumbuke kuwa tulikuwa na mashirka ya umma tena mengine yalikuwa yakiendeshwa kwa ufanisi lakini tukasema serikali kazi yake ni kusanya kodi na siyo kufanya biashara na viongozi wetu wakahamua kuyauza mashrika yote, na mengine kufa kifo cha mende na pia kuuzwa kwa bei ya bure kama NBC.

Sasa tumeingie kwenye mfumo wa vyama vingi basi moja kwa moja tukubali kila kitu katika mfumo...kama hili suala la mgombea binafsi. Kwa sababu tukumbuke jamii yeytu sasa hivi inatakiwa kumshirikisha kila mpiga kura wetu ashiriki katika chaguzi mbalimbali, na siyo kila mpiga kura ni shabiki wa vyama vya siasa. Kuna wapiga kura ambao wangependa kupiga kura kwa mgombea binafsi. Na kwasababu hiyo basi mara nyingi wanashindwa kuitumia haki yao kupiga kwa kukosa mgombea binafsi....Inaendelea

Liyumba Amefungwa Jela au Walalahoi wamefumbwa Akili!!!?


Nikitafakari kwa kina naona ni wengi wapo kama Bwana Liyumba katika hizi tuhuma lakini bado sheria haijachukua mkondo wake. Kuna suala la rada hapa la ufisadi wa rada hapa na mabilioni ya EPA yaliyoingia mifukoni kwa mimi nawaita watu wenye akili kuliko sisi sote watanzania. Maana wametenda uhalifu lakini ndiyo kwanza wanaishi kama peponi na sheria na vyombo vyote vya dola vipo vikiwatazama...

Mimi Mcharikaji kuganga njaa na elimu yangu duni siwezi kupambana nao. Je na hao viongozi tuliowapigia kura wanawakilisha hao waahailfu maarufu siku hizi MAFISADI au wanatuwakilisha sisi!!?. Je kuhukumia kifungo kwa Bwana Liyumba ni kwa ajili ya kuturidhisha sisi walalahoi kuwa serikali inafanya juhudi ya kufuata utawala wa sheria. Uchaguzi mkuu bado miezi takribani mitano mpaka kufanyika au hii hukumu inaendana na mahitaji yetu au mahitaji ya hao watawala kupigiwa kura halafu turudi kama kawaida mahakamani kukata rufaa, Bado inaendelea.........

Sunday 30 May 2010

Laws quits over expenses scandalBy STAFF REPORTER

Published: 29 May 2010
Add a comment (41)
DAVID Laws has quit as Treasury chief after it emerged he channelled thousands in Commons expenses to his secret gay lover.
Lib Dem Scottish secretary Danny Alexander will take over from him, Downing Street announced last night.





Mr Laws's resignation comes as the first major blow to the Tory-Lib Dem coalition.

In a statement, Mr Laws said: "I do not see how I can carry out my crucial work on the budget and spending review while I have to deal with the private and public implications of recent revelations."

Prime Minister David Cameron described Mr Laws as "an honourable man", telling him: "I hope that, in time, you will be able to serve again."



Supportive ... PM David Cameron and deputy Nick Clegg
This morning, deputy PM Nick Clegg said he had "enormous respect" for his colleague's "dignity and integrity".

He said: "My admiration for him has only grown as I have seen how he has dealt with the cruel pressures of the last 24 hours.

"There are clearly questions that David himself acknowledges must now be answered about his own expenses.

"When these questions have been addressed, I very much hope that there will be an opportunity for him to rejoin the Government."

Mr Laws's resignation came after it was revealed he had paid £40,000 of taxpayers' money to Jamie Lundy, the man he had been dating since 2001.


There are clearly questions that must now be answered about David's expensesDeputy PM Nick Clegg

The couple had kept their relationship secret from everyone, including family and friends.

Work and pensions secretary Iain Duncan Smith today said Mr Laws was a "thoroughly decent person".

But he added: "I think on balance he is right. If you have got the toughest job in Government to try and find the savings, you cannot be beset by personal problems."

In his resignation letter, Mr Laws wrote: "The last 24 hours have been very difficult and distressing for me.

"I have been thinking carefully about what action I should take in the interests of the Government, my constituents and — most important of all — those whom I love.

Advertisement

Responding to the letter, Mr Cameron wrote: "The last 24 hours must have been extraordinarily difficult and painful for you.

"You are a good and honourable man. I am sure that, throughout, you have been motivated by wanting to protect your privacy rather than anything else.

"Your decision to resign from the Government demonstrates the importance you attach to your integrity.

"In your short time at the Treasury, you have made a real difference, setting the Government on the right path to tackle the deficit which poses such a risk to our economy."



Read more: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/2992831/Laws-quits-over-expenses-scandal.html#ixzz0pQR2S9AC

Was it a trip for tourists or Diaspora filling up in the Cupboard!!?


These are wonders of Tanzania slogans to manipulate many or few people into politics or economy or social events within Tanzania Population living abroad. Was it a trip for holiday makers!!!!

Soka ya Tanzania itabadilika kwa kucheza na Timu ya Taifa-Brazil ndani dakika tisini!?


Mtazamo wangu hupo tofauti kabisa na chanzo halisi ya matatizo ya soka ya Tanzania...Tukumbuke kuwa Brazil kiuchumi wapo juu yetu kidogo ingawa kimsingi ni wenzetu katika masuala ya mambo ya uchumi. Je wamewezaje kuweza kuwa na mafanikio ya katika soka kuliko sisi! Imekuja timu ya Taifa ya Ivory Coast imetusaidia nini? Je ni kweli baadhi ya wachezaji wetu walionekana katika runinga ya SKY na jingine zenye majina makubwa. Hivi ni kweli tunachohitaji ni kucheza na timu kubwa za Taifa!?

Kimsingi hizo pesa zilizolipwa kwa Brazili ili kucheza na timu ya Taifa ya Tanzania zingeweza kuwapeleka kusoma soka wachezaji wastaafu ya timu ya Tanzania kozi za muda mrefu na pia marefa wale wote wenye nia ya kufanya hivyo huko Brazil. Mimi nachoona tunachokosa hapo ni wataalamu wa kuendeleza vipaji, viwanja vya soka safi na salama, marefu wenye mafunzo tangu wakiwa wadogo na vifaa vya michezo. Sina sababu ya kuzungumzia viongozi wa vyama vya michezo kwa sababu hayo yatajitengeneza yenyewe iwapo tukiweza kuwa wataalamu wa soka wenye ujuzi wa kisasa.

Hivi sasa vipaji vya soka Tanzania vinajivumbua vyenyewe bila ya usimamizi wa kiutaalmu matokeo yake. Maumbile ya wachezaji wetu wengi hayaendani na nafasi wanazocheza uwanjani. Imefikiwa wakati viongozi wa soka na mashabiki huwa wanakimbilia kuwalaumu wachezaji kwamba wameongwa baada ya mechi kuwa wamecheza chini ya kiwango bila kuangalia na hao wachezaji kujitambua nafasi wanazhocheza haziendani na wao walivyo kiumbo na urefu pia....

Uzoefu wa mechi za majaribio ni kujifunza, tulipocheza na Misri na Ivory Coast nini tulichojifunza hapo!? Cha zaidi kilichotokea ni aibu tuu kufungwa magoli matano Misri. Hamasa ya wachezaji haitapatikana kwa kucheza na timu kubwa kama hii ya Brazil. Hii naweza kufananisha Mtoto anayetambaa akaharakishwa kukimbia kabla hata miguu ya huyo mtoto kutengemaa kuweza kuimilia uzito wake binafsi. na hata hao wanaosema Tanzania kwa kucheza na Brazil basi itakuwa imefahamika katika ramani ya soka ya dunia. Mimi nategemea kufahamika kwetu katika ulimwengu soka ni kwa kufungwa magoli ya aibu katika ulimwengu wa soka.

Soka yetu ina matatizo makubwa sana yanayotokana na utaalamu zaidi kuliko tunavyofikria. Leo hii nchi kama Ghana, Cameroon, Nigeria, Senegal na Ivory Coast. Wamewezaje kufikia hapo walipo. Nilitegemea hili ndiyo vitu TFF na wadau wengine wa soka wangejadili kwa kina ili kupata jibu la kudumu. Soka ni sayansi na sisi tupo nyuma sana kitaaluma. Hata hawa wataalamu tuliyonao hivi sasa wamesomea hiyo elimu wengine hata kabla ya mobile phone Technology kufika Tanzania.

Kimsingi sisi ni watawala wazuri kwa mambo ya muda mfupi kuliko mikakati ya endelevu ya muda mrefu. Tungetafakari vizuri hicho kiwango cha pesa kinachotumika kuileta Brazil ingeweza kuleta mageuzi ya kweli katika soka kwa kuwapeleka wachezaji wastaafu waliwahi kucheza timu ya Taifa na vijana ili waweze kusoma kozi ya soka za kisasa kwa nchi kama hiyo Brazil. Hayo maarifa wangeweza kwenda sasa kushirikia kikamilifu kuvumbua vipaji na maarifa watakayokuwa mwamejinza. Hivi Leo hatuna wachezi warefu katika soka na ukweli unafahamika unapokuwa mrefu kuna sifa kama mchezaji.

Maumbile ya wachezaji hayawezi kujitambua yenyewe ni sharti kuwe wataalamu wa hiyo nyanja walisomea elimu kisasa ndiyo waweze kufmumbua. Makocha wa kigeni ni muhimu kuwa kwa timu ya Taifa lakini suala kubwa ni lilelile. Kocha mzuri wachezaji siyo wazuri kwa sababu mchezaji wa timu ya Taifa anapoitwa timu ya taifa ni vyema kwa huyo mchezaji kuwa tayari kisoka lakini siyo hawa tulikuwa nao. Wengi wao bado wanahitajika tena kufundishwa hata jinsi ya kufnga goli. na hiyo siyo sifa mchezaji anayeitwa kuja kuchezea timu ya Taifa. Kocha wa Timu Taifa anakuja kutengeneza patern ya uchezaji siyo kukufundihsa jinsi ya kumiliki mpira.

Iwapo mtu yeyote angependa kushiriki huu mjadala anakaribishwa....

Friday 28 May 2010

Tanzania tunaelekea kwenda mbele au tunarudi walipokuwa mababu zetu!!!!???


Mpaka karne hii ya ishirini na moja tunatumia usafiri huu..Je safari ya kufikia maendeleo ya kweli ipo!!!!!!!!???????

Saturday 22 May 2010

Chanzo cha Ajali za barabarani Tanzania nini!


Imekuwa kawaida kwa jamii na serikali kuwatupia lawama Madereva, wamiliki wa magari kuwa ndiyo wanasababisha ajali na kwa sababu ya uzembe wa madereva!!!!!!!!. Je hiyo kweli ni sababu ya kweli ama kuna sababu zaidi ya hizo..
Picha kwa hisani ya Michuzi Blog